Thursday, November 8, 2012

VICE PRESIDENT DR MOHAMMEDY BILAL l (2nd-L)PRESENTS THE OVERLL WINNER AWARD TO NMB CHIEF EXECUTIVE OFFICER MARK WILIESSING

Vice President Dr Mohammed Gharib Bilal (2nd-L) presents the overall winner award to NMB Chief Executive Officer Mark Wiessing after the bank was named the best taxpayer of the year yesterday.

BABY MADAHA WAS JOINED WITH TMK WANAUME HALISI GROUP


SHE WAS JOINED WITH TMK WANAUME HALISI FOR SHARED IDEAS AND CHANGE ATITUDE SONGS,SHE SAID THAT HAVE ARE EXPERENCE OF INDUSTRE MUSIC IN TANZANIA SO THAT HAVE SHARED WITH TMK WANAUME HALISI

Tuesday, October 16, 2012

SOME OF PHOTO OF HOTEL THEY ARE HIGH COST IN THE WORLD AT TANZANIA AREA


BABY MADAHA,MADEE,TUNDA MAN NA CHIDI BENZ KUIPA TAFU 'BONGO DAR ES SALAAM' YA DUDE

 


Ile show iliyokuwa maarufu kwenye kituo cha runinga cha TBC1, ‘Bongo Dar es Salaam’ inatarajia kurejea kwa kishindo kwenye screen.

                         




Staa wa show hiyo Kulwa Kikumba maarufu kama Dude amezungumza kuhusu kuanza tena kwa show hiyo ambayo ipo kwenye hatua ya kurekodiwa.

“Tunarekodi michezo mingi zaidi ili tukianza kuirusha hatupumziki,” anasema Dude.

Amesema ili kuufanya ujio wa show hiyo kuwa wa kishindo zaidi ameamua kuwashirikisha mastaa wa muziki nchini wakiwemo Bahati Bukuku ,Madee,Tunda ,Baby Madaha na Chid Benz.

Dude alisema makubaliano yakifikiwa watashuti wiki hii huku kambi ikiwa Lamada Hotel.

Baby Madaha ameithibitishia Bongo5 kuhusu kushiriki kwenye mchezo huyo.